Skip to main content

Watanzania kutozwa Sh20,000 kwa ajili ya kuhuisha vitambulisho vya taifa




Wananchi watalazimika kulipa Sh20,000 kila mmoja wakati wa kuhuisha Vitambulisho vya Taifa, tofauti na siku za nyuma vilipotolewa bila malipo.

Kundi la kwanza la Vitambulisho vya Taifa ambavyo vilitolewa na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) mwaka 2013 vinatarajiwa kumalizika muda wake kuanzia mwaka ujao (2023)

Hata hivyo mamlaka hiyo imetoa tamko la kuwaondolea wasiwasi ikisema kwa sasa imeharakisha utengenezaji wa vitambulisho.

“Tunaogopa kwa sababu kuna wenzetu hapa mtaani tangu wajiandikishe, huu ni mwaka wa pili hawajapata vitambulisho, walichonacho ni namba tu." Alisema mkazi mmoja wa jijini Dar Es Salaam baada ya mahojiano ya mda mfupi kuhusu tathmini zoezi la vitambulisho vya taifa.

Serikali imewahi kusema mara kadhaa kuwa kuna vitambulisho kadhaa vimetelekezwa katika ofisi za Nida.

"Isitoshe sisi ambao tutataka ku-renew wasipobadilika nadhani tutapata tabu sana muda ukifika tutaendelea kutumia namba badala ya kitambulisho,” aliongeza.

Vitambulisho vya Taifa vilitolewa kwa mara ya kwanza Februari 2013, baada ya Rais wa wakati huo Jakaya Kikwete kuzindua mpango huo, akieleza kuwa ni lazima vitumike kila baada ya miaka 10 kabla ya kuhuishwa.

Wakati wananchi wakieleza kero hiyo, Nida imesema inafahamu kuwa baadhi ya vitambulisho vitaisha na imejipanga kuhakikisha wale wote wanaohitaji kufanyiwa upya wanahudumiwa bila usumbufu.

Akizungumzia suala hilo, Ofisa Habari wa Nida, Geofrey Tjenga alisema, “Wananchi wasiwe na wasiwasi, vitambulisho vitakapoisha utaratibu utakuwa sawa na kwenye vitambulisho au kadi nyingine, kwa mfano leseni ya udereva."

Muda wake ukiisha unaenda kusasisha, ili upate kitambulisho kingine.

“Ukipokea ujumbe mfupi wa simu unaokuambia kuwa kitambulisho kimekwisha, unachotakiwa kufanya ni kwenda katika ofisi yako ya wilaya na kutoa taarifa kuwa kitambulisho hicho kimeisha muda wake, kisha utapewa maelekezo hayo na baada ya hapo utapewa mpya. kitambulisho," aliongeza Tjenga.

Usisahau kushare na marafiki

Comments

Popular posts from this blog

AirPods Fake Vs Real – How To Spot Fake AirPods In 2021 (Ultimate Guide)

AirPods Fake Vs Real – How To Spot Fake AirPods In 2021 (Ultimate Guide) Need your item authenticated by us? Proven expertise, not self-claimed. Get checked by the industry's top experts. Get Authenticated Want this item? Buy it from our partners! Looking to learn how to spot fake AirPods? Scared of getting scammed? Look no further, as we’ve compiled the most complete legit check guide for Apple AirPods. To put it shortly, the quickest way to spot fake AirPods is to scan the serial number found on the inside of the case (see pictures below on how to find that serial number). Once you get that code, pop it through  checkcoverage.apple.com  and see whether Apple confirms it for you. If you can’t get ahold of this code, we’ve added fake vs real comparisons for the actual AirPods below! Remember, fake AirPods will always compromise on quality. To highlight the most common places where these compromises are made, we’ve put together the comparisons you’ll find below. In this gu...

Jinsi ya kuhifadhi contacts katika akaunt ya Google (How to Backup Contacts to Google Drive)

  How to Backup Contacts to Google Drive “Don’t overload your heart by learning all the contacts when you can rest this task on new technological solutions.” – Anonymous Well, there is an automatic syncing feature for data backup to Google on an Android phone. So, it's a default feature of Google Drive, specifically in Android phones. However, the core concept lies in knowing how to backup contacts to Google Drive in a separate folder. Furthermore, it would help if you did the entire thing manually with regards to the iPhone. Most importantly, Google Drive is free to use, accessed by the current Google account. So, why won't you take benefits of such a top-notch Google's product service? However, please note that Google is prone to hacking unless you are using a robust security system. Also, the server speed slows down when millions of users upload and download things simultaneously. So, kindly take note of these facts before you learn how to save contacts in Google Drive. ...

WhatsApp will no longer work on these iOS and Android smartphones since November, is yours on the list?

WhatsApp will no longer work on these iOS and Android smartphones since November, is yours on the list?   The last few months have been quite hectic for WhatsApp , which has launched one novelty after another. However, these innovations have a price and that is because the platform is no longer capable of supporting all smartphone models . Therefore, the messaging app  shared a list  of iOS and Android devices which will no longer work since November 1. The mobile devices on the list will no longer receive support from the application and will be incompatible with WhatsApp . This in order to focus its efforts on the latest generation smartphones, to guarantee an optimal service of the app. In general, the affected devices will be those with an operating system equal to or lower than Android 4.0.3 . Or, in the case of iPhone , devices with iOS 9 and earlier ...